Kisa cha Mzee Kofi

By Ephantus Mwenda
Add to Cart Read Preview

KISA CHA MZEE KOFI

"Wakati wa likizo, Mkuki alimsaidia nyanyake kwa kazi mbalimbali kama vile, kuchunga mifugo, kulima shamba lao kubwa na hata kupeleka mazao yao sokoni.
Wanakijiji walimtambua kwa utulivu na bidii yake kikazi na hata shuleni. Mkuki alipenda sana kuwinda katika msitu mkubwa uliokuwa kando ya kijiji chao. Alijua kulenga shabaha ipasavyo na hakuweza kupoteza hata mshale mmoja katika harakati zile. Alipoingia mahali pa kuanzia mawindo yake, paa walijua lazima wangeliwapoteza wenzao wawili au hata zaidi..."

Wakaaji wa kijiji cha Tusonge walioishi kwa umoja, amani na up-endo, walijipata katika janga kuu. Waligundua ya kuwa, watoto wao walikuwa wakipotea wakati wa likizo. Jambo hili liliwatia wasiwasi mwingi kwa sababu kijiji chao kilizungukwa na msitu mkubwa sana na wa kuogofya. Kwa hivyo, walidhania kuwa ni simba ama mash-etani walioishi katika msitu ule waliowala wanao. Hata hivyo, ha-wakufa moyo. Waliamua kutumia mbinu zote wawezazo kung’amua kiini na ukweli wa tatizo hilo.

ABOUT THE AUTHOR

[IMAGE]
Ephantus Mwenda is an author, financial consultant, film producer, director, screenplay writer and an actor. He is also a motivational speaker and has passion in leadership.
He published his first novel, Bits of My Life in 2011, and a children’s Kiswahili book titled Kisa cha Mzee Kofi in 2014. Ephantus has been a member of The Theatre Company of Kenya, Financial Consultant in an Insurance Company and is a leader and pioneer in a number of Groups and Organizations.

Other books by this Author...

© Matrix Cyber Cafe and Printers 2023.
Developed By Bennito254